1 Wafalme 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo akawaacha wale ng’ombe, akakimbia kumfuata Eliya na kusema: “Tafadhali, acha nimbusu baba yangu na mama yangu.+ Kisha nitakufuata.” Naye akamwambia: “Nenda, rudi; kwa maana mimi nimekufanyia nini?” Luka 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo, iweni na hakika kwamba, hakuna hata mmoja kati yenu asiyeaga mali+ zake zote anayeweza kuwa mwanafunzi wangu.
20 Ndipo akawaacha wale ng’ombe, akakimbia kumfuata Eliya na kusema: “Tafadhali, acha nimbusu baba yangu na mama yangu.+ Kisha nitakufuata.” Naye akamwambia: “Nenda, rudi; kwa maana mimi nimekufanyia nini?”
33 Kwa hiyo, iweni na hakika kwamba, hakuna hata mmoja kati yenu asiyeaga mali+ zake zote anayeweza kuwa mwanafunzi wangu.