Maombolezo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Adhabu kwa kosa la binti ya watu wangu pia inakuwa kubwa kuliko adhabu kwa kosa la dhambi ya Sodoma,+Lililoangamizwa kama kwa dakika moja, na ambalo hakuna mikono iliyojitokeza kulisaidia.+ Ezekieli 16:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+ Mathayo 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Itakuwa rahisi zaidi kwa nchi ya Sodoma katika Siku ya Hukumu kuliko kwenu.”+
6 Adhabu kwa kosa la binti ya watu wangu pia inakuwa kubwa kuliko adhabu kwa kosa la dhambi ya Sodoma,+Lililoangamizwa kama kwa dakika moja, na ambalo hakuna mikono iliyojitokeza kulisaidia.+
48 Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Sodoma dada yako, yeye pamoja na miji yake ya kandokando, hajatenda kulingana na uliyotenda, wewe na miji yako ya kandokando.+
24 Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi, Itakuwa rahisi zaidi kwa nchi ya Sodoma katika Siku ya Hukumu kuliko kwenu.”+