Mwanzo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+ Zaburi 91:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utamkanyaga mwana-simba na swila;+Utamkanyagia chini mwana-simba mwenye manyoya shingoni na nyoka mkubwa.+
15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
13 Utamkanyaga mwana-simba na swila;+Utamkanyagia chini mwana-simba mwenye manyoya shingoni na nyoka mkubwa.+