Mathayo 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akijua jambo hilo,+ Yesu akawaambia: “Kwa nini mnataka kumsumbua mwanamke huyu? Kwa kuwa amenitendea tendo jema.+ Marko 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini Yesu akasema: “Mwacheni. Kwa nini mnataka kumsumbua? Amenifanyia tendo zuri.+
10 Akijua jambo hilo,+ Yesu akawaambia: “Kwa nini mnataka kumsumbua mwanamke huyu? Kwa kuwa amenitendea tendo jema.+