Mathayo 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Akawatolea mfano mwingine,+ akisema: “Ufalme wa mbinguni ni kama mbegu ya haradali,+ ambayo mtu alichukua na kupanda katika shamba lake; Marko 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye akaendelea kusema: “Tutaufananisha ufalme wa Mungu na nini, au tutauweka katika mfano gani?+
31 Akawatolea mfano mwingine,+ akisema: “Ufalme wa mbinguni ni kama mbegu ya haradali,+ ambayo mtu alichukua na kupanda katika shamba lake;