Mathayo 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Akawatolea mfano mwingine,+ akisema: “Ufalme wa mbinguni ni kama mbegu ya haradali,+ ambayo mtu alichukua na kupanda katika shamba lake; Luka 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu ni kama nini, nami nitaulinganisha na nini?+
31 Akawatolea mfano mwingine,+ akisema: “Ufalme wa mbinguni ni kama mbegu ya haradali,+ ambayo mtu alichukua na kupanda katika shamba lake;