22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+
16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu,+ lakini humkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza na wasiotii nao si wenye kukubalika+ kwa ajili ya kazi njema ya namna yoyote.