Wafilipi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza. 2 Timotheo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wakiwa na namna ya ujitoaji-kimungu+ lakini wakizikana nguvu zake;+ nawe geukia mbali kutoka kwa hao.+
17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza.
5 wakiwa na namna ya ujitoaji-kimungu+ lakini wakizikana nguvu zake;+ nawe geukia mbali kutoka kwa hao.+