8 Mimi, niliye mtu mdogo kuliko aliye mdogo+ zaidi kati ya watakatifu wote, nilipewa fadhili hizi zisizostahiliwa,+ ili niwatangazie mataifa+ habari njema juu ya utajiri+ usiopimika wa Kristo
18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu+ iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ya nje ili uvikwe na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho+ yako ili upate kuona.