Matendo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 naye akawaambia: “Ninyi mnajua jinsi ilivyo kinyume cha sheria kwa Myahudi kujiunga na mtu wa jamii nyingine au kumkaribia;+ na bado Mungu amenionyesha sipaswi kumwita mtu yeyote kuwa najisi au si safi.+
28 naye akawaambia: “Ninyi mnajua jinsi ilivyo kinyume cha sheria kwa Myahudi kujiunga na mtu wa jamii nyingine au kumkaribia;+ na bado Mungu amenionyesha sipaswi kumwita mtu yeyote kuwa najisi au si safi.+