Mathayo 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 nao wakasokota taji kutokana na miiba na kuliweka juu ya kichwa chake na utete katika mkono wake wa kuume. Nao wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyia dhihaka,+ wakisema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!”+ Marko 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nao wakampamba kwa vazi la zambarau na kusokota taji la miiba, wakaliweka juu yake.+ Luka 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Herode pamoja na askari-jeshi wake walinzi wakamfedhehesha,+ naye akamdhihaki+ kwa kumvika vazi jangavu na kumrudisha kwa Pilato.
29 nao wakasokota taji kutokana na miiba na kuliweka juu ya kichwa chake na utete katika mkono wake wa kuume. Nao wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyia dhihaka,+ wakisema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!”+
11 Ndipo Herode pamoja na askari-jeshi wake walinzi wakamfedhehesha,+ naye akamdhihaki+ kwa kumvika vazi jangavu na kumrudisha kwa Pilato.