Yohana 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kile ambacho ameona na kusikia, yeye hutoa ushahidi juu yake,+ lakini hakuna mtu anayekubali ushahidi wake.+ 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
32 Kile ambacho ameona na kusikia, yeye hutoa ushahidi juu yake,+ lakini hakuna mtu anayekubali ushahidi wake.+
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.