26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na kutoa hukumu juu ya mambo hayo. Kwa hakika, yule aliyenituma ni wa kweli, na mambo yale niliyoyasikia kutoka kwake ninayasema ulimwenguni.”+
15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+