28 Kwa hiyo Yesu akapaaza sauti alipokuwa akifundisha katika hekalu na kusema: “Ninyi mnanijua tena mnajua nimetoka wapi.+ Pia, sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini yule aliyenituma ni halisi,+ nanyi hammjui.+
20 Yesu akamjibu: “Nimesema na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika; nami sikusema jambo lolote katika siri.