Isaya 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+ Yohana 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao, na bado Andiko haliwezi kubatilishwa,+ Wafilipi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+
6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+
35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao, na bado Andiko haliwezi kubatilishwa,+
6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+