4 “Naye atasimama na kuchunga kwa nguvu za Yehova,+ katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake.+ Nao wataendelea kukaa,+ maana sasa atakuwa mkuu mpaka miisho ya dunia.+
47 Kwa sababu hiyo wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakaikusanya pamoja Sanhedrini+ na kuanza kusema: “Tufanye nini, kwa sababu mtu huyu anafanya ishara nyingi?+