Malaki 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Mathayo 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nanyi mkitaka kukubali hili, Yeye mwenyewe ndiye ‘Eliya ambaye anakusudiwa kuja.’+ Mathayo 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, wanafunzi wakamuuliza swali hili: “Basi, kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya aje kwanza?”+ Marko 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi ninawaambia ninyi, Eliya,+ kwa kweli, amekuja, nao walimtendea mambo mengi kama walivyotaka, kama ilivyoandikwa juu yake.”+
5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
10 Hata hivyo, wanafunzi wakamuuliza swali hili: “Basi, kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya aje kwanza?”+
13 Lakini mimi ninawaambia ninyi, Eliya,+ kwa kweli, amekuja, nao walimtendea mambo mengi kama walivyotaka, kama ilivyoandikwa juu yake.”+