Yohana 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo Yesu akapaaza sauti alipokuwa akifundisha katika hekalu na kusema: “Ninyi mnanijua tena mnajua nimetoka wapi.+ Pia, sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini yule aliyenituma ni halisi,+ nanyi hammjui.+ Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ Yohana 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni. Na zaidi ya hayo, ninauacha ulimwengu nami ninaenda kwa Baba.”+
28 Kwa hiyo Yesu akapaaza sauti alipokuwa akifundisha katika hekalu na kusema: “Ninyi mnanijua tena mnajua nimetoka wapi.+ Pia, sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini yule aliyenituma ni halisi,+ nanyi hammjui.+
3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
28 Mimi nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni. Na zaidi ya hayo, ninauacha ulimwengu nami ninaenda kwa Baba.”+