1 Wafalme 8:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 basi usikie ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao,+ Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ Waebrania 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+
49 basi usikie ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao,+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+