Waroma 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba+ yetu Abrahamu alikuwa nayo.
12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba+ yetu Abrahamu alikuwa nayo.