Luka 22:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 “Ikiwa wewe ndiye Kristo,+ tuambie.” Lakini akawaambia: “Hata kama ningewaambia, ninyi hamngeamini hata kidogo.+ Yohana 6:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu alijua ni nani wale waliokuwa hawaamini na ni nani angemsaliti.+
67 “Ikiwa wewe ndiye Kristo,+ tuambie.” Lakini akawaambia: “Hata kama ningewaambia, ninyi hamngeamini hata kidogo.+
64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu alijua ni nani wale waliokuwa hawaamini na ni nani angemsaliti.+