17 Kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Manabii+ wengi na watu waadilifu walitamani kuyaona mambo mnayoyaona wala hawakuyaona,+ na kuyasikia mambo mnayoyasikia wala hawakuyasikia.+
13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+
11 Waliendelea kuchunguza ni majira gani hasa+ au ni majira ya namna gani ambayo roho+ iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi kimbele juu ya mateso ya Kristo+ na juu ya utukufu+ ambao ungefuata hayo.