Luka 9:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 na kuwaambia: “Yeyote yule anayempokea mtoto huyu mchanga kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama aliye mdogo+ zaidi kati yenu nyote ndiye aliye mkuu.”+ 1 Petro 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+
48 na kuwaambia: “Yeyote yule anayempokea mtoto huyu mchanga kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama aliye mdogo+ zaidi kati yenu nyote ndiye aliye mkuu.”+
3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+