Zaburi 80:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+ Yeremia 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+ 1 Wakorintho 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+
21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+
9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+