Yohana 6:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu hukaa katika muungano nami, na mimi katika muungano naye.+ 1 Wakorintho 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo, nanyi ni viungo mkiwa mmoja-mmoja.+ Wakolosai 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 lakini yeye hakishiki imara kile kichwa,+ yeye ambaye kutokana naye mwili wote, ukiandaliwa na kuunganishwa pamoja+ kwa upatano kwa njia ya viungo na kano zake, huendelea kukua kwa ukuzi ambao Mungu hutoa.+
56 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu hukaa katika muungano nami, na mimi katika muungano naye.+
19 lakini yeye hakishiki imara kile kichwa,+ yeye ambaye kutokana naye mwili wote, ukiandaliwa na kuunganishwa pamoja+ kwa upatano kwa njia ya viungo na kano zake, huendelea kukua kwa ukuzi ambao Mungu hutoa.+