Yohana 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+ Waroma 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+ Waroma 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa kweli, wakati mmoja nilikuwa hai bila sheria;+ lakini amri ilipofika,+ dhambi ikawa hai tena, lakini mimi nikafa.+
22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+
20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+
9 Kwa kweli, wakati mmoja nilikuwa hai bila sheria;+ lakini amri ilipofika,+ dhambi ikawa hai tena, lakini mimi nikafa.+