Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+ Yohana 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+
13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+
8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+