7 Kwa sababu hiyo neno la Mungu likaendelea kukua,+ na hesabu ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu;+ na umati mkubwa wa makuhani+ ukaanza kuitii+ imani.
6 ambayo imejitokeza kwenu, kama inavyozaa matunda+ na kuongezeka+ katika ulimwengu+ wote kama vile inavyofanya pia katikati yenu, tangu siku mliposikia na kujua kwa usahihi fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu katika kweli.+