Matendo 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda pale mahali pa sala, kijakazi fulani mwenye roho,+ roho mwovu wa uaguzi,+ akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida+ nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.
16 Na ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda pale mahali pa sala, kijakazi fulani mwenye roho,+ roho mwovu wa uaguzi,+ akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida+ nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.