1 Wakorintho 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini nitakuja kwenu wakati nitakapokuwa nimekwenda kupitia Makedonia, kwa maana ninaenda kupitia Makedonia;+ 1 Timotheo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kama vile nilivyokutia moyo ukae Efeso nilipokuwa karibu kuondoka na kwenda Makedonia,+ ndivyo ninavyofanya sasa, ili uwaamuru+ watu fulani wasifundishe fundisho tofauti,+
5 Lakini nitakuja kwenu wakati nitakapokuwa nimekwenda kupitia Makedonia, kwa maana ninaenda kupitia Makedonia;+
3 Kama vile nilivyokutia moyo ukae Efeso nilipokuwa karibu kuondoka na kwenda Makedonia,+ ndivyo ninavyofanya sasa, ili uwaamuru+ watu fulani wasifundishe fundisho tofauti,+