12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+
17 Jambo hilo likajulikana na wote, Wayahudi na Wagiriki pia waliokaa katika Efeso; na woga+ ukawaingia hao wote, na jina la Bwana Yesu likaendelea kutukuzwa.+