2 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Daudi na watu wake wakazidi kusonga mbele barabarani, Shimei naye akiwa anatembea kando ya mlima, akitembea kando yake ili alaani;+ naye akaendelea kutupa mawe akiwa kando yake, naye alitupa mavumbi mengi sana.+
13 Kwa hiyo Daudi na watu wake wakazidi kusonga mbele barabarani, Shimei naye akiwa anatembea kando ya mlima, akitembea kando yake ili alaani;+ naye akaendelea kutupa mawe akiwa kando yake, naye alitupa mavumbi mengi sana.+