Matendo 21:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini wengine katika umati wakaanza kupaaza sauti kuhusu jambo moja, na wengine kuhusu lingine.+ Kwa hiyo, kwa kuwa hangeweza kujua jambo lolote la hakika kwa sababu ya fujo hizo, akaamuru aletwe kwenye makao ya askari-jeshi.+
34 Lakini wengine katika umati wakaanza kupaaza sauti kuhusu jambo moja, na wengine kuhusu lingine.+ Kwa hiyo, kwa kuwa hangeweza kujua jambo lolote la hakika kwa sababu ya fujo hizo, akaamuru aletwe kwenye makao ya askari-jeshi.+