-
Matendo 21:34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 Lakini baadhi ya watu katika umati wakaanza kusema jambo moja kwa sauti kubwa na wengine jambo tofauti. Basi aliposhindwa kujua jambo lolote la hakika kwa sababu ya fujo hizo, akaamuru aletwe kwenye makao ya wanajeshi.
-
-
Matendo 21:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Lakini wengine katika umati wakaanza kupaaza sauti kuhusu jambo moja, na wengine jingine. Kwa hiyo, yeye mwenyewe akiwa hawezi kujua lolote la hakika kwa sababu ya hiyo fujo, akaamuru aletwe kwenye makao ya askari-jeshi.
-