Mathayo 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa. 1 Petro 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu,+ sikuzote mkiwa tayari kujitetea+ mbele ya kila mtu ambaye hutaka kutoka kwenu sababu ya tumaini lililo ndani yenu, lakini mkifanya hivyo kwa tabia-pole+ na heshima kubwa.
18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa.
15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu,+ sikuzote mkiwa tayari kujitetea+ mbele ya kila mtu ambaye hutaka kutoka kwenu sababu ya tumaini lililo ndani yenu, lakini mkifanya hivyo kwa tabia-pole+ na heshima kubwa.