5 kama ambavyo kuhani mkuu na pia kusanyiko lote la wanaume wazee+ wanavyoweza kunitolea ushahidi. Kutoka kwao nilipata pia barua+ nizipeleke kwa akina ndugu katika Damasko, nami nilikuwa ninaenda kuwaleta wale waliokuwa huko pia mpaka Yerusalemu wakiwa wamefungwa ili waadhibiwe.