Luka 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akaanzia Musa+ na Manabii+ wote, akawafasiria mambo yanayomhusu yeye mwenyewe katika Maandiko yote. Matendo 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwake yeye manabii wote hutoa ushahidi,+ kwamba kila mtu anayemwamini hupata msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+
27 Naye akaanzia Musa+ na Manabii+ wote, akawafasiria mambo yanayomhusu yeye mwenyewe katika Maandiko yote.
43 Kwake yeye manabii wote hutoa ushahidi,+ kwamba kila mtu anayemwamini hupata msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+