Mathayo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana alikuwa akisema moyoni mwake: “Nikigusa tu vazi lake la nje nitapona.”+ Mathayo 14:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao wakaanza kumsihi ili wapate kuugusa tu upindo wa vazi lake la nje;+ na wale wote waliougusa wakapona kabisa. Marko 6:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+
36 Nao wakaanza kumsihi ili wapate kuugusa tu upindo wa vazi lake la nje;+ na wale wote waliougusa wakapona kabisa.
56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+