27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+
38 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia wajifanyie upindo wenye nyuzinyuzi kwenye miisho ya nguo zao katika vizazi vyao vyote, nao wataweka uzi wa bluu juu ya upindo wenye nyuzinyuzi wa miisho ya nguo,+