Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+

  • Hesabu 15:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia wajifanyie upindo wenye nyuzinyuzi kwenye miisho ya nguo zao katika vizazi vyao vyote, nao wataweka uzi wa bluu juu ya upindo wenye nyuzinyuzi wa miisho ya nguo,+

  • Mathayo 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwa maana alikuwa akisema moyoni mwake: “Nikigusa tu vazi lake la nje nitapona.”+

  • Marko 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa aliwaponya watu wengi, wale wote waliokuwa na magonjwa yenye kuhuzunisha walikuwa wakimwangukia ili wamguse.+

  • Luka 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na umati wote ulikuwa ukitafuta kumgusa,+ kwa sababu nguvu+ zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki