Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ Mathayo 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana alijua kwamba walikuwa wamemtia mikononi mwake+ kwa sababu ya wivu.+