Mathayo 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu,+ ili wawafukuze na kuponya kila namna ya ugonjwa na kila namna ya udhaifu. Marko 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+
10 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu,+ ili wawafukuze na kuponya kila namna ya ugonjwa na kila namna ya udhaifu.
7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+