3 akieleza na kuthibitisha kwa marejeo kwamba ilikuwa lazima Kristo ateseke+ na kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ akisema: “Huyu ndiye Kristo,+ Yesu huyu ninayewatangazia ninyi.”
28 kwa maana kwa juhudi nyingi alithibitisha kikamili hadharani kuwa Wayahudi ni wenye makosa, huku akionyesha kwa Maandiko+ kwamba Yesu alikuwa ndiye Kristo.+