Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—

  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Isaya 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ninyi ishara: Tazama! Mwanamwali+ kwa kweli atapata mimba,+ naye atazaa mwana,+ naye hakika atamwita jina lake Imanueli.

  • Mika 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+

  • Malaki 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+

  • Matendo 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Sauli akaendelea kupata nguvu hata zaidi naye alikuwa akiwafadhaisha Wayahudi waliokuwa wakikaa Damasko alipokuwa akithibitisha kupatana na akili kwamba huyu ndiye Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki