Matendo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, Petro akasema: “Fedha na dhahabu sina, lakini kile nilicho nacho ndicho ninachokupa:+ Katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ tembea!”+ Matendo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu.
6 Hata hivyo, Petro akasema: “Fedha na dhahabu sina, lakini kile nilicho nacho ndicho ninachokupa:+ Katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ tembea!”+
10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu.