Matendo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Walipokuwa wakimhudumia+ Yehova hadharani na kufunga, roho takatifu ikasema: “Kati ya watu wote wekeni kando Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu kwa kazi ambayo nimewaitia wao.” Matendo 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana roho takatifu+ na sisi wenyewe tumependelea tusiwaongezee ninyi mzigo+ zaidi, ila mambo haya ya lazima, Matendo 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, wakapitia Frigia na nchi ya Galatia,+ kwa sababu walikatazwa na roho takatifu wasiseme lile neno katika wilaya ya Asia. Matendo 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ila kwamba kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu+ inatoa ushahidi kwangu kwa kurudiarudia inaposema kwamba vifungo na dhiki vinaningojea.+
2 Walipokuwa wakimhudumia+ Yehova hadharani na kufunga, roho takatifu ikasema: “Kati ya watu wote wekeni kando Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu kwa kazi ambayo nimewaitia wao.”
28 Kwa maana roho takatifu+ na sisi wenyewe tumependelea tusiwaongezee ninyi mzigo+ zaidi, ila mambo haya ya lazima,
6 Zaidi ya hayo, wakapitia Frigia na nchi ya Galatia,+ kwa sababu walikatazwa na roho takatifu wasiseme lile neno katika wilaya ya Asia.
23 ila kwamba kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu+ inatoa ushahidi kwangu kwa kurudiarudia inaposema kwamba vifungo na dhiki vinaningojea.+