Yohana 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+ Matendo 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nasi ni mashahidi wa mambo hayo,+ na pia roho takatifu,+ ambayo Mungu amewapa wale wanaomtii yeye akiwa mtawala.”
13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+
32 Nasi ni mashahidi wa mambo hayo,+ na pia roho takatifu,+ ambayo Mungu amewapa wale wanaomtii yeye akiwa mtawala.”