19 Nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalofunga duniani litakuwa jambo lililofungwa mbinguni, na lolote utakalofungua duniani litakuwa jambo lililofunguliwa mbinguni.”+
38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.