Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalofunga duniani litakuwa jambo lililofungwa mbinguni, na lolote utakalofungua duniani litakuwa jambo lililofunguliwa mbinguni.”+

  • Matendo 2:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.

  • Matendo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Waliposikia hilo, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki