Yohana 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+ Matendo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Petro alipokuwa akiwaza akilini mwake kuhusu yale maono, roho+ ikasema: “Tazama! Wanaume watatu wanakutafuta.
13 Hata hivyo, huyo atakapofika, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote, kwa maana hatasema kwa msukumo wake mwenyewe, bali mambo anayoyasikia atasema, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+
19 Petro alipokuwa akiwaza akilini mwake kuhusu yale maono, roho+ ikasema: “Tazama! Wanaume watatu wanakutafuta.