Matendo 13:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kusanyiko la sinagogi lilipomalizika, wengi kati ya Wayahudi na kati ya wageuzwa-imani waliomwabudu Mungu wakawafuata Paulo na Barnaba,+ ambao walisema nao na kuanza kuwahimiza+ waendelee kubaki katika fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+ Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
43 Kusanyiko la sinagogi lilipomalizika, wengi kati ya Wayahudi na kati ya wageuzwa-imani waliomwabudu Mungu wakawafuata Paulo na Barnaba,+ ambao walisema nao na kuanza kuwahimiza+ waendelee kubaki katika fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+
22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+