11 Ninyi pia mnaweza kushiriki kusaidia kwa dua yenu kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani+ kwa ajili yetu kwa lile ambalo tumepewa kwa fadhili kutokana na sala za watu wengi.+
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+